[theme_section_hidden_section.ReportAbuse1] : Plus UI currently doesn't support ReportAbuse gadget added from Layout. Consider reporting about this message to the admin of this blog. Looks like you are the admin of this blog, remove this widget from Layout to hide this message.
Juhudi hizo zinafanyika zikiwa zimebaki siku chache kabla ya rais mteule wa Marekani Donald Trump hajaingia madarakani wiki ijayo.
Wapatanishi Marekani, Qatar na Misri wamekuwa kwenye mazungumzo juu ya kusitishwa mapigano tangu mwaka uliopita bila mafanikio lakini mara hii maafisa wa Marekani wamesema wanayo matumaini ya kufikiwa makubaliano.
Mkuu wa shirika la ujasusi la Israel (Mossad) David Barnea na mshauri mkuu wa Rais Biden kuhusu masuala ya mashariki ya kati Brett Mc Gurk, wako mjini Doha, Qatar kwa mazungumzo.